BARA ARABU WAKATI WA MTUME WAKAZI WAKE

Bara Arabu lipo upande wa kusini wa Bara la Asia. Bara hili ndilo makazi ya Waarabu tangu kale na mpaka sasa kinaishi humo kizazi cha Waarabu. Maelfu ya miaka Waarabu…

UTANGULIZI SIRA YA MTUME

SIRA NI NINI? Sira ni fani inayojishughulisha kuelezea maisha ya Nabii Muhammad tangu kuzaliwa mpaka kufa kwake, ikiwa ni pamoja na malezi na makuzi yake, wasifu wake wa kimaumbile, tabia…

UBORA WA ELIMU NA FAIDA YA KUSOMA

UBORA WA ELIMU Elimu ndio pambo tukufu na lenye thamani kushinda/kuliko mapambo yote anayojipamba nayo mwanadamu. Elimu ndio mwangaza na taa pekee inayomuangazia mwanadamu katika maisha ya ulimwengu huu. Elimu…

UTANGULIZI SIRA YA MTUME

SIRA NI NINI? Sira ni fani inayojishughulisha kuelezea maisha ya Nabii Muhammad tangu kuzaliwa mpaka kufa kwake, ikiwa ni pamoja na malezi na makuzi yake, wasifu wake wa kimaumbile, tabia…

SOMO LA KWANZA

Welcome to WordPress. This is your first post. Edit or delete it, then start writing!

MAANA YA FIQHI

Fiq-hi ni neno la kiarabu lenye maana mbili. Maana ya kwanza ni ya kilugha na ya pili ni ya kisheria. Katika lugha ya kiarabu neno “fiq-hi” maana yake ni kufahamu na…

MISINGI YA FIQHI

Misingi ya fiq-hi ni chimbuko la elimu hii yaani mahala ambamo elimu hii imechukuliwa. Elimu ya fiq-hi imejiegemeza katika misingi mikuu minne kama ifuatavyo: Qur-aniHadithi(sunnah)Ijmaa,naQiyaasi Hii ndio misingi na tegemeo…

FAIDA YA FIQHI

غَافِرِ ٱلذَّنۢبِ وَقَابِلِ ٱلتَّوْبِ شَدِيدِ ٱلْعِقَابِ ذِى ٱلطَّوْلِ ۖ لَآ إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ ۖ إِلَيْهِ ٱلْمَصِيرُ Umuhimu na faida itokanayo na elimu hii ya fiq-hi unajidhihirisha katika maisha ya kila…

HUKUMU YA SHERIA YA KIISLAMU

HUKUMU YA SHERIA KATIKA FIQHI Baada ya kuona faida na umuhimu wa fiq-hi hatuna budi kujua hukumu ya sheria katika elimu hii. Kila elimu katika Uislamu ina hukumu yake, elimu…